Mi2pikoClaxxxic

Mi2pikoClassic

Monday, September 6, 2010

20 ZA TOWN YA PRESENTER CASTO SOON NDANI YA CLOUDS TV. Stay Tuned

Anaitwa Casto kijana kutoka Clouds TV na hapa tulikuwa tukifanyiwa Interview ya kipindi chake kipya ambacho kitazinduliwa soon na kitatambulika kwa jina la 20 za Town ambacho kitakuwa kikirushwa kila Jumamosi usiku Clouds TV. Kipindi hiki kitakuwa kinazungumzia Bongo Fleva pamoja na videos za bongo na bila kusahau Interview kwa wadau wote wa mziki huu wa bongo fleva
Alianza na mimi kwa kuniuliza maswali tofauti tofauti juu ya blog yangu na mambo mengine mengine ambayo majibu yake yalikuwa mepesi kuyajibu. Location hii ilikuwa pale Mlimani City.
Baada ya hapo tukaelekea kwa msanii Young D kutoka Fish Crab naye alikuwa akiulizwa maswali ya kimziki zaidi pamoja na mziki anaoufanya kama yeye anauchukuliaje kwa miaka ya baadae. Location hii ilikuwa pale Ubungo Plaza

Show ya Casto ikaishika kwa msanii mwingine anayejulikana kwa jina la CPWAA, huyu yeye alikuwa akiulizwa juu ya video mpya aliyoitoa ambayo inaitwa So Pwaa. Hapa maswali yalikuwa ya kawaida na mtu mzima Cpwaa aliyamudu kuyajibu. Location ilikuwa pale Mbalamwezi Beach
Vijana kutoka mjengo Clouds TV hawa hapa, Casto, Raymond & Joram

No comments:

Post a Comment

Crunk Wear

Crunk Wear

Crunk Wear